IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII:
Timu ya mpira wa miguu (soka) ya Bongofleva Fc inatarajia kushuka dimbani siku ya jumapili mjini Dodoma,ambapo itakwaana vilivyo na kombaini ya Wanavyuo Dodoma katika uwanja wa Jamuhuri.Aidha kwa sasa timu ya Bongofleva FC inajifua katika viwanja vya Lidaz,Kinondoni jijini Dar, kwa mujibu wa kiongozi wa timu hiyo Rich One.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment