bongofleva fc kukipiga na wanavyuo dodoma kesho jumapili

Saturday 18 June 2011

IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII: counter





Timu ya mpira wa miguu (soka) ya Bongofleva Fc inatarajia kushuka dimbani siku ya jumapili mjini Dodoma,ambapo itakwaana vilivyo na kombaini ya Wanavyuo Dodoma katika uwanja wa Jamuhuri.Aidha kwa sasa timu ya Bongofleva FC inajifua katika viwanja vya Lidaz,Kinondoni jijini Dar, kwa mujibu wa kiongozi wa timu hiyo Rich One.

0 comments:

Post a Comment