yanga yatinga nusu fainali kombe la kagame kuipiga red sea ya eritrea bao 6-5

Wednesday 6 July 2011

IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII: counter
 wachezaji wa red Sea wakimzonga Refa kwa madai kuwa anawauma hasa baada ya refa kuwataka Yanga kurudia penati baada ya kukosa - mara mbili

Beki wa Red Sea akiokoa mpira huku Davies Mwape akiukodolea macho
 KIPA WA YANGA AKIOKOA PENAT I YA MWISHO
 askari wakiweka ulinzi kwa waamuzi wa leo

Mashabiki wa Yanga wakifurahia ushindi
 Mshambuliaji wa Yanga, Davies Mwape akitafuta mbinu za kuwatoka walinzi wa Red Sea katika mchezo wa robo fainali ya michuano ya kombe la kagame kwenye uwanja wa taifa Dar es Salaam. Yanga ilishinda bao 6-5 za matuta baada ya kumaliza dakika 90 bila kwa bila. Katika penati tano-tano timu zote zilikosa penati moja moja kabla ya Yanga kushinda kwa penati yan mwisho iliyopigwa na Nurdin Bakari
Mshambuliaji wa Yanga, Kigi Makasi akimtoka beki wa Red Sea, Yakob Tekie katika mchezo wa robo fainali ya michuano ya kombe la kagame kwenye uwanja wa taifa Dar es Salaam. Picha kwa hisani ya Michuziblog

0 comments:

Post a Comment