Shaggy alipotembelea Usukumani

Sunday 26 June 2011

IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII: counter
Shaggy akitumbuiza uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza usiku huu
Wanamuziki wa Shaggy wakifanya vitu vyao jukwaani

Nyomi ya Mwanza







Shaggy baada ya kusimikwa ubalozi wa wa Wasukuma huku Bujora mchana



Balozi wa Wasukuma Shaggy kwenye kiti chake cha enzi



Jaji Mark Bomani akimsimika Shaggy ubalozi wa Wasukuma




Balozi wa Wasukuma akishukuru wananchi wa Mwanza kwa heshima hiyo



Wachezaji wa ngoma ya Kisukuma wakikaribisha wageni



Shaggy akitembelea jumba la Makumbusho la Wasukuma Bujora






Shaggy akiwa kazungukwa na wanautamaduni wa Kisukuma.



0 comments:

Post a Comment