yanga na el mereikh zatoka sare 2-2 kombe la kagame castle cup

Sunday 26 June 2011

IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII: counter
MASHABIKI WA YANGA WAKISHANGILIA MOJA KATI YA MAGOLI YALIYOFUNGWA NA TIMU YAO


Mshambuliaji wa Yanga Davies Mwape akiruka daruga la beki wa  El-Mereikh ya Sudan, Nasr Eldin wakati wa mchezo wa Kombe la Kagame Castle uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 2-2.
PICHA YA PAMOJA YA MANAHODHA WA TIMU ZOTE NA WAAMUZI
MASHABIKI WA SIMBA WAKIIPA SAPOTI EL-MEREIKH
KIKOSI CHA YANGA.
  
KIKOSI CHA EL-MEREIKH YA SUDAN.

0 comments:

Post a Comment