Waziri afuatwa na mkewe bungeni

Friday 24 June 2011

IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII: counter
Dodoma
Mke wa Waziri wa Serikali ya Tanzania anayetumikia wizara nyeti, (jina limehifadhiwa), amemuibukia mumewe bungeni kisa uwepo wa muigizaji Wema Abraham Sepetu aliyekuwa mjini hapa hivi karibuni.
HABARI KAMILI HAPA

0 comments:

Post a Comment