Tanzania kinara huduma bora Afrika

Friday 24 June 2011

IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII: counter
UMOJA wa Mataifa (UN), umeitangaza Tanzania kuwa mshindi katika utoaji wa huduma bora za utumishi wa umma kwa jamii barani Afrika, katika maadhimisho wa Wiki ya Utumishi wa Umma, yaliyohitimishwa jana.
HABARI KAMILI HAPA

0 comments:

Post a Comment