Wafanyakazi hao walipofika kiwandani hapo walikuta matangazo getini kuwa hawahitajiki kiwandani hapo na waondoke wakatafute ajira sehemu nyingine. Baada ya kuona matangazo hayo ambayo hayakuwa na maelezo zaidi, wafanyakazi hao wakajikusanya eneo hilo kupinga agizo hilo.
Wafanyakazi hao wakiwa wamepumzika kando ya Uzio wa kiwanda hicho
0 comments:
Post a Comment