Bungeni: Lowassa asema Serikali ina woga

Friday 24 June 2011

IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII: counter
MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa ameiambia Serikali ya Rais Jakaya Kikwete kuwa inasumbuliwa na ugonjwa wa woga katika kutoa uamuzi magumu na matokeo yake mambo yake mengi hayaendi kama yalivyopangwa.
Lowassa, ambaye alikuwa Waziri Mkuu wa kwanza katika utawala huu wa awamu ya nne, pia akaitaka Serikali hiyo kubadilika.
habari kamili hapa

0 comments:

Post a Comment