Miaka 57 ya kuzaliwa TANU yafana

Friday 8 July 2011

IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII: counter
Mzee Constantine Osward Millinga akielezea historia ya chama cha TANU wakati wa sherehe za kuzaliwa kwa chama hicho katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar huku Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete na Makamu wa CCM Bara Mh. Pius Msekwa wakimsikiliza
Mzee Constantine Osward Millinga (90), mmoja kati ya waasisi watatu kati ya 17 wa TANU walio hai akiongea wakati wa maadhimisho ya kuzaliwa kwa chama hicho cha kwanza cha siasa nchini ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar Julai 7, 2011

0 comments:

Post a Comment