ROASTAM AZIZ AJIUZULU NAFASI ZOTE SERIKALINI NA SIASA

Wednesday 13 July 2011

IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII: counter

Mbunge wa Igunga na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi, ambaye pia ni mfanyabiashara mkubwa nchini Tanzania, Rostam Aziz, ameachia ngazi leo! Akiongea na wapiga kura wake jimboni kwake Wilaya ya Igunga, mkoani Tabora, Rostam alitamka kuwa ameamua kuachana na SIASA UCHWARA ili apate muda wa kufanyabiashara zake. Katika mkutano huo uliohudhuriwa na wanahabari, ametangaza kuachia ngaza nafasi yake ya ubunge wa Igunga na ile ya ujumbe wa NEC! Hii ina maana kwamba Rostam ameamua kujivua gamba mwenywe kabla ya kuvuliwa na kwamba jimbo la Igunga sasa liko wazi!

HOTUBA YA MHE. ROSTAM AZIZ KWA WAZEE WA IGUNGA - TABORA
UTANGULIZI
WAZEE wangu, kwanza kabisa kabla ya kueleza kile ambacho kimenisukuma kuzungumza nanyi leo,

0 comments:

Post a Comment